MWANDISHI WA KITABU:

Saleh " KALONDA " bin Ramazani,
Amezaliwa katika muji wa benye karingila/miabe,mtaa wa Nonda,tarafa la Kasongo, jimboni Maniema, katika jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo,Barani Afrika.

Alifunuliwa na Mungu katika mwaka wa 1993(nuru1:1-8)

Kitabu cha ukweli kina milango saba,kila mlango upo na sura sabini.

Someni kitabu hiki kitukufu ili mupate kubarikiwa.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Kitabu cha ukweli - Mlango wa saba : "KAULI TUKUFU"

Kitabu cha ukweli - Mlango Wa pili "ENZI TUKUFU"